Tanzanian Vocalist/Bongo crooner, Harmonize has finally given a response to claims that he has “set camp” in Anerlisa Muigai’s messages on social media.
Harmonize was one of several musicians accused by Ben Pol of making advances on Anerlisa. The others included rapper Khaligraph Jones and Shetta.
Ben Pol claimed, “Wasanii wapo ninawaona Shettah. Harmonize, Khaligraph wasanii wapo nawaona kwanza blue ticks pale verified lakini sishangai kwa sababu ni msichana mrembo na ukipata nafasi ya kukaa naye kama hivi ndio unaona uzuri wake Zaidi. Zinaonekana.”
But in his response, Harmonize has categorically denied the allegations saying that Ben Pol was clout chasing to create a buzz for his new song.
“Unajua mkiwa katika mahusiono kila mtu anataka kumheshimu mwenzake kuwa usinichukulie poa, kuwa kuna mtu fulani alishawahi kunitongozanga. Kuna vitu vingine vinaongelewa vinaweza kuwa vya ukweli au sio kweli. So as a gentleman ukisikia vitu kama hivyo si vizuri kuweka kwenye public. Angeniambia tu ‘bro wife kaniambia hivi na hivi’ na mimi ningemwambia that’s not true. Hamna ukweli kwa hilo, before I was feeling bad lakini nikasema sisi binadamu. Mwanamke wa Ben Pol mimi nimemjua hata kabla hajamjua Ben, like three years ago,” said Harmonize.
The Wasafi hitmaker further noted he loves Ben Pol and that he can’t get in the way of his relationship.
“But mimi naheshimu na sisi ni binadamu sometimes tunateleza. Labda shemela wetu pia kaamua kusema ivo kumwasha bro kuwa usinichukulie poa, kuna watu bado wananifuata. Mimi sio stupid kuona watu wako kwa mahusiano serious alafu mimi namtext DM. Ben Pol is my brother and I love him so much an nimeshiriki katika kazi yake ya Why and I like him he is just humble and my role model too because mimi nimeanza kumskia Ben Pol back in the days at a time I was nobody,” said Harmonize.
Former Prime Minister Rishi Sunak gave James Anderson England's highest honor by placing him in his resignation honours list for…
DP World and India's government launched two projects to boost Indian exports throughout multiple areas of the world. The announcement…
The International Court of Justice is conducting a case where Sudan blames the United Arab Emirates for supporting genocide forces…
Abu Dhabi hosted a crucial exchange of prisoners between Russia and the United States on April 10 2025. Both global…
South Africa's Test Captain Temba Bavuma faces an elbow injury issue that affects his sport participation before the World Test…
Fadlu Davids plans to use an offensive style with Simba SC during their match against Al-Masry of Egypt for the…
This website uses cookies.